Zuzu Lyrics & Tabs by Elani

Zuzu

guitar chords lyrics

Elani

Album : Barua Ya Dunia under 2000 listeners PlayStop

Number one on your Radio
Kwani wapi nilikosea
Kwani wapi nilikosea

Elani baby
Kufumba kufumbua, hasira ni hasara
Pesa ndiyo kitu sina, jukumu ni lazima
Tabibu wangu amenitoroka
Tabibu wangu ameniacha
Ameniacha mi(Aiyoooo)
Hoihoii iii(Iyoo, Iyo, yo, yo)
Kwani wapi nilikosea aah aah
Kwani wapi nilipotea, nikaachwa mataa
Anaye ni zuzu anayenizuzua
Anaye ni zuzu amenitoroka
Hoihoii, hoihoii iii

Anaye ni zuzu anayenizuzua
Anaye ni zuzu amenitoroka
Hoihoii, hoihoii iii
Ulienda, ulienda wapi
Penzi limenichanganya, sijui niko wapi
Ulisema ni mimi tu,
Ukani chocha chocha chocha its me & you
Umeniacha Mi, Hoooiiiii,
Hoi, Hoiiii
Kwani wapi nilikosea aah aah
Kwani wapi nilipotea, nikaachwa mataa
Anaye ni zuzu anayenizuzua
Anaye ni zuzu amenitoroka
Hoihoii, hoihoii iii
Kwani wapi nilikosea aah aah
Kwani wapi nilipotea, nikaachwa mataa
Anaye ni zuzu anayenizuzua
Anaye ni zuzu amenitoroka
Hoihoii, hoihoii iii
Ulienda, ulienda Wapi,
Hapa Nilipo, Ninakumissi Yo Yo Yo,
Ulienda, ulienda Wapi,
Hapa Nilipo, Ninakumissi Yo Yo Yo,
Ulienda, ulienda Wapi,
Hapa Nilipo, Ninakumissi Yo Yo Yo,
Ulienda, ulienda Wapi,
Hapa Nilipo, Ninakumissi Yo Yo Yo,
Ninakumissi Yo Yo Yo,
Ninakumissi Yo Yo Yo,
Ninakumissi Yo Yo Yo,
Ninakumissi Yo Yo Yo,
Ninakumissi Yo Yo Yo,
Ninakumissi Yo Yo Yo,
Ninakumissi Yo Yo Yo,

Like us on Facebook.....
-> Loading Time :0.0065 sec