Peperuka Lyrics & Tabs by Elani

Peperuka

guitar chords lyrics

Elani

Album : Barua Ya Dunia under 2000 listeners PlayStop

Nimeketi kwenye kona, muziki ndio soda,
Ya kiu cha moyo wangu,
Kiangazi kinachoma, barafu sio dawa,

Ya tiba ya moyo wangu,
Picha zako zanituliza,
Sauti yako nayo naisikia,
Natakamie,
Nikupe maua, niweze kupeperuka,
Nifike kwa jua, nipate kukuona,
Mama, papa,
2
Nimeketi kwenye kona, moyoni sina supa,
Ya gari ya moyo wangu
Ndugu zangu wanalia kuomba tunaomba,
Hizi enzi za machozi,

Ya gari ya moyo wangu
Ndugu zangu wanalia kuomba tunaomba,
Hizi enzi za machozi,
BRIDGE: instrumental.
***END***

Like us on Facebook.....
-> Loading Time :0.0099 sec