Fadhili Zake Ni Za Milele Lyrics & Tabs by Reuben Kigame

Fadhili Zake Ni Za Milele

guitar chords lyrics

Reuben Kigame

Album : Wastahili BwanaPlayStop

Zaburi mia moja na thelathini na sita; tumshukuru Bwana na tuimbe pamoja
Mshukuruni Bwana
Kwa kuwa ni mwema

Kwa maana fadhili zake
Ni za milele
Mshukuruni Bwana
Kwa kuwa ni mwema
Kwa maana fadhili zake
Ni za milele
Mshukuruni Mungu wa miungu
Fadhili zake ni za milele
Mshukuruni Bwana wa mabwana
Fadhili zake ni za milele
Amefanya maajabu
Fadhili zake ni za milele

Fadhili zake ni za milele
Amefanya maajabu
Fadhili zake ni za milele
Yeye alifanya mbingu na nchi
Fadhili zake ni za milele
Sema Kabisa
Mshukuruni Bwana
Kwa kuwa ni mwema
Kwa maana fadhili zake
Ni za milele
Mshukuruni Bwana
Kwa kuwa ni mwema
Kwa maana fadhili zake
Ni za milele
Amefanya mianga mikubwa
Fadhili zake ni za milele
Jua litawale mchana
Fadhili zake ni za milele
Mwezi na nyota usiku
Fadhili zake ni za milele
Akatandaza nchi juu ya maji
Fadhili zake ni za milele
Imba kabisa
Mshukuruni Bwana
Kwa kuwa ni mwema
Kwa maana fadhili zake
Ni za milele
Mshukuruni Bwana
Kwa kuwa ni mwema
Kwa maana fadhili zake
Ni za milele
Aliyeigawa Bahari ya Shamu
Fadhili zake ni za milele
Akavusha Waisiraeli
Fadhili zake ni za milele
Aliyemshinda Farao
Fadhili zake ni za milele
Na majeshi yake yote
Fadhili zake ni za milele
Sema kabisa
Mshukuruni Bwana
Kwa kuwa ni mwema
Kwa maana fadhili zake
Ni za milele
Mshukuruni Bwana
Kwa kuwa ni mwema
Kwa maana fadhili zake
Ni za milele
Yeye aliyetukumbuka
Fadhili zake ni za milele
Katika unyonge wetu
Fadhili zake ni za milele
Atuokoaye na watesi
Fadhili zake ni za milele
Mungu kweli ni wa ajabu
Fadhili zake ni za milele
Mshukuruni Bwana
Kwa kuwa ni mwema
Kwa maana fadhili zake
Ni za milele
Mshukuruni Bwana
Kwa kuwa ni mwema
Kwa maana fadhili zake
Ni za milele
Mshukuruni Bwana
Kwa kuwa ni mwema
Kwa maana fadhili zake
Ni za milele
Mshukuruni Bwana
Kwa kuwa ni mwema
Kwa maana fadhili zake
Ni za milele

More tracks of "Reuben Kigame"

Like us on Facebook.....
-> Loading Time :0.0067 sec