Damu Ya Salaam Lyrics & Tabs by Khadja Nin

Damu Ya Salaam

guitar chords lyrics

Khadja Nin

Album : Ya... world PlayStop

tangu iraki mpaka amerika
wako karibu yakufunga vita
mi mama mzazi nauliza

ni nani ata linda watoto wetu
bwana hussein anasema:
"nataka salaam"
mi si aminiye neno ile
damu yaliyo mwangiwa
ni ya wadogo na watoto tu
mimi huyu nakosa njiya
yakusikika kwa wakubwa
kwa hakika tulijioneya
vita ya kwanza ilizala fitina
bwana hussein anasema:
"nataka salaam"

vita ya kwanza ilizala fitina
bwana hussein anasema:
"nataka salaam"
mi si aminiye neno ile
damu yaliyo mwangiwa
ni ya wadogo na watoto tu
nakata matumaini
ju kwa vile naona
wakubwa hawajali macozi ya
mutu mudogo analiya wake
siraha ya amani ilikuta kwake
mr.clinton anasema:
"nataka salaam"
mi si aminiye neno ile
damu yaliyo mwangiwa
ni ya wadogo na watoto tu
mr.clinton anasema:
"nataka salaam"
mi si aminiye neno ile
damu yaliyo mwangiwa
ni ya wadogo na watoto tu

Like us on Facebook.....
-> Loading Time :0.0194 sec