Bwana C. Lyrics & Tabs by Khadja Nin

Bwana C.

guitar chords lyrics

Khadja Nin

Album : Sambolera african PlayStop

Mayisha yangu wewe
Aca niku imbiye
Ujuwe kama

Tangu nimeku ona
Nakupenda nakupenda wewe
Hakuna duniyani
Mapendo zayidi iyi
Najuwa kama
Hayi wezekane
Nakupenda nakupenda wewe
We bwana wa ungine
Sikuwa najuwa yangu
Mapendo ya vile
Kweli nime jaribu
Kukusahabu wewe bwana

Mapendo ya vile
Kweli nime jaribu
Kukusahabu wewe bwana
Alakini mama ... siweze
Usini one mubaya
Sinta ku ingiliya
Mapendo yangu
Ita baki inje
Nakupenda nakupenda wewe
Aca niku imbiye
Mayisha yangu wewe
Waca niji imbiye
Ata kama wewe
Huweze nipenda
Nakupenda nakupenda ...
We Bwana C.
Wewe Bwana C.
Wewe Bwana C.
Wewe Bwana C.

Like us on Facebook.....
-> Loading Time :0.0104 sec