Daktari Lyrics & Tabs by Esther Wahome

Daktari

guitar chords lyrics

Esther Wahome

Album : DaktariPlayStop

Daktari wa moyo nipima pime, Daktari wa mwili wangu touch me
Daktari wa moyo nipima pime, Daktari wa mwili wangu touch me
Nimeskia sifa zako daktari, Vile Sara na Hana uliwapa wana

Ukimgusa tasa anapata mapacha, Oh Daktrari, oh Daktari
Oh daktari, daktari touch me!
Daktari wa moyo nipima pime, Daktari wa mwili wangu touch me
Daktari wa moyo nipima pime, Daktari wa mwili wangu touch me
Kuna vile unaelewa unyonge wangu, au uchungu wangu na haja zangu
Hata na akili zangu dhamiri yangu, Tafadhali daktari
Oh daktari, Eh daktari, daktari touch me!
Daktari wa moyo nipima pime, Daktari wa mwili wangu touch me
Daktari wa moyo nipima pime, Daktari wa mwili wangu touch me
Wazee wamama na vijana wapime oh, hata watoto pia uwapime baba
Ukipata magonjwa, uwatibu daddy, moyo mwili na moyo wewe ni daktari
Eh Daktari, daktari, oh daktari, daktari

Wazee wamama na vijana wapime oh, hata watoto pia uwapime baba
Ukipata magonjwa, uwatibu daddy, moyo mwili na moyo wewe ni daktari
Eh Daktari, daktari, oh daktari, daktari
Daktari wa moyo nipima pime, Daktari wa mwili wangu touch me
Daktari wa moyo nipima pime, Daktari wa mwili wangu touch me

More tracks of "Esther Wahome"

Like us on Facebook.....
-> Loading Time :0.0077 sec