Lazizi Lyrics & Tabs by Sauti Sol

Lazizi

guitar chords lyrics

Sauti Sol

Album : Mwanzo kenya PlayStop

Lazizi wangu we
Zawadi nono kutoka mbinguni
Nakuwaza my baby (Nakuwaza my baby)

Nikikuwaza usiku silali
Nikikuona na wengine nashikwa na wivu
Naomba unipe number yako nikuvutie wire
Nikupeleke Java
Tunywe kahawa
Tukizubaa dubaa dubaa
Verse 2:
Mukhali wanje we
Shihanwa shyanje khurula khu-nyasaye
Ndakhuyanza my baby (Ndakhuyanza my baby)
Shihanwa shyanje khurula khu-nyasaye
Zunguka zunguzukane

Ndakhuyanza my baby (Ndakhuyanza my baby)
Shihanwa shyanje khurula khu-nyasaye
Zunguka zunguzukane
Nikitafuta kama wewe
Mi nafeel so nice
Unanipa mi amani
Mbele Baby
Sioni njia bila wewe
wewe... eeeh Lazizi
Mazoe manana (Mazoe manana ah)
Kadonangaeuta na lola, Na
Kanisakayo sheri nanga
Soki yo tena nzanga kapongi (Mpenzi)

Like us on Facebook.....
-> Loading Time :0.0081 sec