Asante Sana Baba Lyrics & Tabs by Sauti Sol

Asante Sana Baba

guitar chords lyrics

Sauti Sol

Album : Mwanzo kenya PlayStop

Asante sana baba yangu
Umenipa mafunzo ya ajabu
Kunifunza kweli ni taabu

Nafanya kazi usiaibike X2
Sintokusahau maishani baba yangu
Umenielimisha, rekebisha kanipa mawaidha
Baisikeli kanipandisha
Nguo za kifahari kanivalisha
Nayo majuto ni mjukuu
Tega sikio usiseme I wish I knew
Asante sana baba yangu
Umenipa mafunzo ya ajabu
Kunifunza kweli ni taabu
Nafanya kazi usiaibike X2
Huuuuuuuu baba heiiii

Kunifunza kweli ni taabu
Nafanya kazi usiaibike X2
Huuuuuuuu baba heiiii
Desturi na mila [umenifundisha]
Kulinda familia [aaaaahhhhhh]
Kuheshimu bibilia [bibilia kabisa]
Kumtunza malkia [maaaaaama]
Mtu mwenye heshima [na kila hekima]
Mfano mwema [aaaaaaahhhh]
Kwa kupanda na kulima [umenishughulikia]
Mfano mwema, [babaaaaaaaa]
Asante sana baba yangu
Umenipa mafunzo ya ajabu
Kunifunza kweli ni taabu
Nafanya kazi usiaibike
Baba baba baba baba [yangu]
Asante sana baba yangu [ni wewe]
Umenipa mafunzo ya ajabu [eeeeeehhh]
Kunifunza kweli ni taabu [ni wewe baba]
Nafanya kazi usiaibike
Aaaaaaaaaaaaaaaaa X3
Uuuuuuuuuuuuuuu X2
Asante sana baba yangu
Umenipa mafunzo ya ajabu
Kunifunza kweli ni taabu
Nafanya kazi usiaibike X2
Aaaa asante
Daddy ooooh
Dadddy ooododoooe
Wewe ni baba [Daddy ooooh]
Wewe ni baba [Ooooooh]
Wewe ni baba yangu
Wewe ni baba
Wewe ni baba yangu
Wewe ni baba
Wewe ni baba [Weweeeee weweeeee]
Wewe ni baba yangu
Wewe uweiyeiye
Wewe ni baba
Wewe weweeee
Wewe ni daddy daddy daddy daddy daddy daddy
Wewe ni baba

Like us on Facebook.....
-> Loading Time :0.0081 sec