Jana Usiku Lyrics & Tabs by Elani

Jana Usiku

guitar chords lyrics

Elani

Album : Barua Ya Dunia under 2000 listeners PlayStop

Jana usiku, niliota ndoto,
Africa nzima, kuliwaka moto x2
Jua ilinyesha, mvua nayo ikawaka aaa,

Manabii walitafsiri, siku hii na sio siri,
Kama wewe unajipenda, mikono juu mikono juu,
kama umemea,
Sahau shida ka umesota, leo tupige makelele,
kona to kona, tukiimba,
aaaaaaa, aaaaaaa
2
Na mi napendwa na halaiki, wananipigia pigia mtaani,
Haiyaiye,
Tumemea, hakuna fare, na tunataka hewaaa x2
***END***

Tumemea, hakuna fare, na tunataka hewaaa x2
***END***

Like us on Facebook.....
-> Loading Time :0.0109 sec