My Angel (Malaika) Lyrics & Tabs by Harry Belafonte

My Angel (Malaika)

guitar chords lyrics

Harry Belafonte

Album : The Art of a LegendPlayStop

Harry Belafonte & MIRIAM MAKEBA My Angel (malaika) LYRICS
Malaika, nakupenda Malaika
Malaika, nakupenda Malaika

Ningekuoa mali we, ningekuoa dada
Nashindwa na mali sina we, ningekuoa
Malaika
Pesa, zasumbua roho yangu
Pesa, zasumbua roho yangu
Nami nifanyeje, kijana mwenzio
Nashindwa na mali sina we
Ningekuoa Malaika
Kidege, hukuwaza kidege
Kidege, hukuwaza kidege
Ningekuoa mali we, ningekuoa dada
Nashindwa na mali sina, we

Kidege, hukuwaza kidege
Ningekuoa mali we, ningekuoa dada
Nashindwa na mali sina, we
Ningekuoa Malaika
Malaika, nakupenda Malaika
Malaika, nakupenda Malaika
Ningekuoa mali we, ngekuoa dada
Nashindwa na mali sina we, Ningekuoa Malaika

Like us on Facebook.....
-> Loading Time :0.0177 sec